Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba 9, 2021
Picha
kessyngocho.blogspot.com Rais aliepinduliwa akingiwa kifua na Mataifa, Rais wa Ghana atoa tamko Ikiwa ni siku kadhaa tangu Wanajeshi wa  Guinea  wamejitokeza katika runinga ya taifa wakithibitisha kwamba Rais  Alpha Conde ameondolewa madarakani, katika hotuba iliyooneshwa kwenye televisheni, Wanaume waliovaa sare za kijeshi, bendera ya Guinea ikiwa nyuma yao wamelihutubia taifa wakijiita Kamati ya Kitaifa ya upatanisho na maendeleo. Hapa nimekusogezea taarifa mpya iliyotokewa Jumuiya ya Viongozi wa kiuchumi ya mataifa ya Afrika Magharibi ECOWAS ambao wameiondoka nchin Guinea katika Jumuiya hiyo kufuatilia mapinduzi ya Kijeshi yaliyotokea wiki iliyopita baada ya kuondolewa kwa Rais wao aitwao Alpha Conde.
Picha
Manara ajutia asema “Nilichelewa wapi kujiunga na Mabingwa” (video+) Edwin TZA  ·  10 minutes ago Msemaji wa Yanga Haji Manara anaendeleza kejeli zake juu ya waajiri wake zamani na sasa ameibuka na kuonesha kujutia kuchelewa kujiunga Yanga SC. Ayo TV & Millardayo.com  imekuandalia hapa stori kamili unaweza ukabonyeza play kufahamu zaidi.