Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei 7, 2021

Tanesko

Picha
WAZIRI wa Nishati, Medard Kalemani ameonya tabia ya baadhi ya Mameneja wa Shirika la Umeme (TANESCO) kuwauzia nguzo wananchi wanaotaka kuunganishiwa huduma ya umeme wakati nguzo hizo utolewa bure kwa wateja kote nchini. Akizungumza na Mameneja wa TANESCO wa nchini nzima katika semina iliyofanyika Jijini Dodoma, Waziri Kalemani amesema kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wananchi juu ya kuuziwa nguzo licha ya Serikali kutoa maelekezo yakutouzwa kwa nguzo hizo. WAZIRI wa Nishati, Medard Kalemani ameonya tabia ya baadhi ya Mameneja wa Shirika la Umeme (TANESCO) kuwauzia nguzo wananchi wanaotaka kuunganishiwa huduma ya umeme wakati nguzo hizo utolewa bure kwa wateja kote nchini. Akizungumza na Mameneja wa TANESCO wa nchini nzima katika semina iliyofanyika Jijini Dodoma, Waziri Kalemani amesema kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wananchi juu ya kuuziwa nguzo licha ya Serikali kutoa maelekezo yakutouzwa kwa nguzo hizo. “Yapo maeneo watu mnawauzia nguzo, pamoja na kutoa maelekezo chungu nzima wa

Kocha mecky mexime

Picha
3 kati ya 3 kesssyngocho.blogspot.com  ametoa maoni kwenye  " Habari tanzani " Siku 2 zilizopita Kocha Mecky Mexime leo amesaini mkataba wa miaka miwili kama Kocha Mkuu wa kituo cha Cambiasso Sports Management. Mexime ameeleza kuwa ameamua kufanya kazi na Cambiasso kwa sababu anataka kutuliza Kichwa chake kutokana na vilabu vya Tanzania baadhi ya viongozi hawana ueledi wa soka. “Mimi sasa hivi nimeshaingia Cambiasso nimepumzisha kichwa kwa sababu huku kwenye vilabu vyetu wajinga wajinga wengi na ndio mpira wetu sisi unapofeli, sisi walimu wa mpira kuna wakati tunafukuzwa kazi na watu wajinga tu”>>> Mexime   

Stori nzuri

kessyngocho.blogspot.comMAMBO YA MSINGI SANA KUYAJUA ILI UISHI NA WENZIO VIZURI.  1. Epuka hasira za ovyo na kila mtu, kuwa msikivu kabla ya  kukimbilia maamuzi (elewa kuwa ukiwa na hasira huwezi kupata suluhu ya jambo) 2. Usiwatendee wengine ubaya ukadhani kuwa utakuwa salama (ubaya hulipwa kwa ubaya, ipo siku ubaya wako kwa wengine utakurejea kama sio kuwarejea watu wa kizazi chako) 3. Usichukue maamuzi kabla ya kutafiti ukweli (pengine wapo wanadamu wanaopenda kuonekana wao wema  kwa kuumiza wengine). Mtuhumu mtu lakini mpe muda wa kumsikiliza, usimshambulie mtu kwa maneno makali bila kuujua ukweli, ukijua ukweli nafsi inaweza kukusuta.  4. Mchukulie kila mwanadamu ni mkosaji (tambua kuwa hata wewe unawakosea sana wengine na wanakuvumilia. Hivyo usiwe mwepesi wa  kuwaadhibu wenzio kwa ubaya).  5. Usipande mbegu ya chuki na ubaya katika jamii unayoishi ukadhani itakuacha salama (chuki hukua kama mti utambaao, ukiipanda ndani ya jamii yako, haitatoka kwako na inaweza kutafuna kizazi c

Baruti za kitanzania

Picha
Ninzuli sana zinatumika vizuli kuliko za nje kessyngocho.blogspot.com
kessyngocho.blogspot.com