Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Juni 25, 2021
Picha
 TZA  ·  Yesterday Kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Juni 26 ya kila mwaka imesema serikali haina mpango wa kuruhusu kilimo cha bangi na kama ikiruhusu ni Taasisi za Utafiti zitaruhusiwa. Akizungumza na waaandishi wa habari  Gerald Musabila Kusaya  Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za kulevya amesema mpaka sasa Serikali haina mpango wowote wa kuruhusu kilimo hicho .