Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei, 2022
Picha
kessyngocho.blogspot.com Picha: Rais Samia alivyolipokea Kombe la Dunia Ikulu Dar es Salaam Ni Mei 31, 2022 ambapo Rais Samia akipokea Kombe la Dunia la Mashindano ya Mpira Miguu (World CUP) Litakaloshindaniwa nchini Qatar IKulu Dar es Salaam. Hizi ni baadhi ya picha mbalimbali  ushuhudie yaliyojiri Ikulu Dar es Salaam. . . . . . . .

DARAJANI TANZANITE DAR ESALAAM

Picha
kessyngocho.blogspot.com Ni Mei 28, 2022 ambapo watu mbalimbali wamefika katika  Daraja Tanzanite Dar es Salaam  kushuhudia live fainali kati ya Real Madrid na Liverpool kupitia Big Screen iliyofungwa kwenye daraja hilo. Hapa unaweza tazama picha mbalimbali shangwe za mashabiki wa Mpira waliofika kujionee fainali hiyo inayoendelea muda huu. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .