Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Agosti 5, 2021
Picha
kessyngocho.blogspot.com Live:Mwijaku anamjibu Manara muda huu “Manara akasome kwanza” Edwin TZA  ·  1 hour ago NI Mwijaku ambae muda huu anazungumza na Vyombo vya Habari kuhusu kauli za Haji Manara alizozitoka Agosti 4, 2021 akishtumu Uongozi wa Simba SC. “Akubali akatae lazima aende kusoma zama zimebadilika kwasasa mpira unahitaji watu waliosoma, timu zetu zinapoelekea kwasasa zinahitaji watu wenye taaluma kwahiyo asitupie lawama kwa Simba “- Mwijaku Ayo TV iko Mubashara muda huu unaweza ukafuatilia mwanzo mwisho anachozungumza muda huu. MASHABIKI WA SIMBA WAMKINGIA KIFUA MO DEWJI “HATUMTAKI ANAYETOBOA MTUMBWI”  
Picha
kessyngocho.blogspot.com Picha:DC Nikki wa Pili ajipatia chanjo ya Uviko 19 Ni Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Nickson Simon maarufu kama  Nikk wa Pili  ambae leo Agosti 5, 2021 amezindua rasmi Chanjo ya kujikinga na Ugonjwa wa Covid-19 katika wilaya yake,  baada ya uzinduzi huo pia  Mkuu  wa  Wilaya  huyo alishiriki kujipatia chanjo hiyo. Baada ya kujipatia chanjo hiyo alisema “ Tunamshukuru Rais Samia na Serikali kwa ujumla pamoja na wadau wote wa afya kwa kufanikisha upatikanaji wa chanjo hii salama kabisa katika nchi yetu. Hii ni hatua muhimu katika kuendeleza mapambano dhidi ya Corona’ – DC Nickson Simon   .   .   MUSUKUMA AWAVAA WANAOSEMA UKICHOMWA CHANJO UNAGEUKA ZOMBIE “NI MANENO YA WAPUMBAVU”