Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai 28, 2021
Picha
kessyngocho.blogspot.com PICHA 15:Rais Samia na Viongozi mbalimbali walivyochanjwa chanjo ya Uviko 19 Ikuku DSM Ni July 28, 2021 ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshiriki uzinduzi wa chanjo ya Uviko 19 katika viwanja vya Ikulu, Jijini Dar es Salaam. Sasa baada ya uzinduzi huo hapa millardayo.com imekusogezea picha 15 zikimuonesha Rais Samia Suluhu pamoja na Viongozi mbalimbali wakichanjwa chanjo ya kujikinga na Covid-19. . .Rais wa awamu ya sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akionesha cheti chake baada ya kupatiwa chanjo ya kujikinga na Covid-19 .Pichani Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akichanjwa chanjo ya kujikinga Covid-19 katika hafla ya uzinduzi wa chanjo hiyo uliofanyika July 28,2021 Ikulu Dar es Salaam . .Pichani:Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma akichanjwa chanjo ya kujikinga ugonjwa wa Covid-19 katika uzinduzi wa hafla hiyo uliofanyika July 28,2021 Ikulu Dar es Salaam .Pichani Waziri wa Afya Dkt Dorothy Gw