Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba 12, 2021
Picha
kessyngocho.blogspot.com Kamanda aliempindua Rais Conde awasili kwenye mkutano wa Ecowas “Aibuka na Ulinzi mkali” Edwin TZA  ·  2 days ago Ikiwa ni siku kadhaa tangu  Wanajeshi  wa Guinea wamejitokeza katika runinga ya taifa wakithibitisha kwamba Rais  Alpha Conde ameondolewa madarakani, katika hotuba iliyooneshwa kwenye televisheni, Wanaume waliovaa sare za kijeshi, bendera ya  Guinea ikiwa nyuma yao wamelihutubia taifa wakijiita Kamati ya Kitaifa ya upatanisho na maendeleo. Hapa nimekusogezea video ufahamu kile kinachoendelea nchini humo ambapo Kamanda aliempindua  Rais  leo  Septemba 11, 2021  amefika mahali panapofanyika mkutano wa  ECOWAS.