kessyngocho.blogspot.com Ni Mei 28, 2022 ambapo watu mbalimbali wamefika katika Daraja Tanzanite Dar es Salaam kushuhudia live fainali kati ya Real Madrid na Liverpool kupitia Big Screen iliyofungwa kwenye daraja hilo. Hapa unaweza tazama picha mbalimbali shangwe za mashabiki wa Mpira waliofika kujionee fainali hiyo inayoendelea muda huu. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
kessyngocho.blogspot.com Picha: Rais Samia alivyolipokea Kombe la Dunia Ikulu Dar es Salaam Ni Mei 31, 2022 ambapo Rais Samia akipokea Kombe la Dunia la Mashindano ya Mpira Miguu (World CUP) Litakaloshindaniwa nchini Qatar IKulu Dar es Salaam. Hizi ni baadhi ya picha mbalimbali ushuhudie yaliyojiri Ikulu Dar es Salaam. . . . . . . .
Maoni
Chapisha Maoni
Karibu kessyngocho.blogspot.com
Tukuhudumie