Habari leo tanzania
watanzani tulio wengi maisha yetu kwasasa c mazuli maana maisha yamepanda sukari iko juu mafuta nyama pia imepada wafanya biasha kila kukicha wanapandisha bila utalatibu tunaomba serikali iangazie hayo matatizo ili tupate unafuu wanainchi
Maoni
Chapisha Maoni
Karibu kessyngocho.blogspot.com
Tukuhudumie