Machapisho

Picha
kessyngocho.blogspot.com
Picha
kessyngocho.blogspot.com- Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam February 2, 2022,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.

HABARI ZA MAGAZETI TANZANIA KILA SIKU

Picha
kessyngocho.blogspot.com- Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam January 30, 2022,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania.
Picha
kessyngocho.blogspot.com LIVE: Rais Samia anahutubia Taifa usiku huu Muda huu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anahutubia Taifa kuelekea miaka 60 ya Uhuru, bonyeza PLAY hapa chini kutazama LIVE
Picha
kessyngocho.blogspot.com Mkurugenzi wa gereza ahukumiwa miaka mitano Mahakama ya Rwanda imemuhukumu kifungo cha miaka mitano jela aliyekuwa Mkurugenzi wa Gereza kuu la Kigali kwa kosa la kuiba pesa za mfungwa wa Uingereza. Innocent Kayumba, ambaye alihukumiwa Ijumaa jioni pamoja na makamu wake wa zamani Eric Ntakirutimana, amekata rufaa dhidi ya hukumu hiyo, hati ya mahakama inaonyesha. Mahakama ilimwachilia mfungwa mtaalamu wa IT ambaye alitumia ujuzi wake kudukua kadi ya Visa ya mwathiriwa baada ya kuiambia mahakama kwamba alilazimishwa na mkurugenzi wa gereza kufanya hivyo. Alisema alitakiwa “kuichambua” kadi iliyohifadhiwa na uongozi wa magereza baada ya kubaini kuwa akaunti ya benki iliyounganishwa nayo ilikuwa na kiasi kikubwa cha fedha. Mfungwa huyo mwenye uraia wa Uingereza na Misri aliiambia mahakama kwamba zaidi ya £7,000 ($9,300) zilichukuliwa kutoka kwa akaunti yake kwa kutumia kadi yake mwaka jana bila yeye kujua. Mahakama ilisema Kayumba na naibu wake walipanga njama ya w
Picha
kessyngocho.blogspot.com Mikopo kwa watakaofunga ndoa Mgombea urais nchini Kenya ameahidi mikopo ya kati ya $4,400 (£3,300) na $8,800 kwa wanandoa wote wapya iwapo atachaguliwa kuwa Rais katika uchaguzi utakaofanyika mwakani. Gavana wa Machakos Alfred Mutua, ambaye alikuwa akizindua ilani yake ya urais Jumapili, alisema mkopo wa riba ya chini utakaolipwa ndani ya miaka 20 utasaidia familia “kuanza maisha vizuri”. Vilevile mgombea huyo amesema serikali yake itahimiza upandaji miti na kuhesabiwa kama sehemu ya malipo ya mahari. “Unapoenda kulipa mahari, unapaswa kusema umepanda miti mingapi,” Bw. Mutua alisema wakati wa uzinduzi huo ambao ulitangazwa moja kwa moja kwenye vituo vya televisheni nchini humo. Lakini ahadi hii imeibua shutuma kali na kejeli kutoka kwa Wakenya mtandaoni. Takriban wanasiasa 12 tayari wameanza kampeni za kumrithi Rais aliye madarakani Uhuru Kenyatta, ambaye yuko katika miezi ya mwisho ya miaka 10 madarakani.
Picha
kessyngocho.blogspot.  leo October 10/ 2021/nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania